Wa Laqad Jā'akum Mūsaá Bil-Bayyināti Thumma Attakhadhtum Al-`Ijla Min Ba`dihi Wa 'Antum Žālimūna (Al-Baqarah: 92).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
92. Na alikufikieni Musa na hoja zilizo waziwazi, kisha mkamchukua ndama (kumuabudu) baada yake, na mkawa wenye kudhulumu.