Wa 'Idh Qāla Mūsaá Liqawmihi 'Inna Allāha Ya'murukum 'An Tadhbaĥū Baqaratan Qālū 'Atattakhidhunā Huzūan Qāla 'A`ūdhu Billāhi 'An 'Akūna Mina Al-Jāhilīn (Al-Baqarah: 67).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
67. Na Musa alipo waambia watu wake: Hakika Mwenyezi Mungu anakuamrisheni mchinje ng'ombe. Wakasema: Je! Unatufanyia mzaha? Akasema: Audhubil lahi! Najikinga kwa Mwenyezi Mungu nisiwe miongoni mwa wajinga.