Wa Laqad `Alimtum Al-Ladhīna A`tadaw Minkum Fī As-Sabti Faqulnā Lahum Kūnū Qiradatan Khāsi'īna (Al-Baqarah: 65). |
65. Na hakika mlikwisha yajua ya wale miongoni mwenu walio ivunja Sabato,(siku ya mapumziko, Jumaa Mosi) na tukawaambia: Kuweni manyani wadhalilifu. |